Shule ya wasichana ya Mt. Yosefu Ngarenanro (St. Joseph Ngarenaro Girls' Secondary School) inatangaza nafasi za masomo kwa kidato cha kwanza na cha tano. Pia nafasi kwa wanaohamia zipo. Tunapokea wanafunzi kutoka dini zote.
Masomo yanayofundishwa:
Kidato cha kwanza hadi cha nne
Civics, Kiswahili, History, English, Geography, Biology, Chemistry, Physics, Mathematics, Bible Knowledge, Computer studies and Food and Nutrition.
Michepuo kwa kidato cha tano na sita
CBG, HGL, HKL, HGK and PCM
Mawasiliano:
St. Joseph Ngarenaro Secondary School
P.O. Box 8032,
ARUSHA - TANZANIAPHONE: +255 754 913 926
Pakua fomu ya maombi hapa.
Sign up here with your email
2 comments
Write commentsTangazo limetufikia na tumeiona Shule ina mazingira mazuri ya kujifunzia ndani na nje ya darasani. Hongeri sana kwa kutuletea chuo cha malezi yenye misingi ya utu na usawa. Amina.
ReplyShule yenu inapendwa zaidi, hongereni sana kwa malezi na Elimu mnayoitoa kwa vijana wetu wa kike.
ReplyConversionConversion EmoticonEmoticon